Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge (kushoto) akizungumza na Meneja kampuni ya B.C.E.G Bw. Xiong (Kulia) kuhusu maendeleo ya uwekaji wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja wa Taifa leo Juni 28,2016.
 Meneja kampuni ya B.C.E.G Bw. Xiong (Kulia) akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge (kushoto) kuhusu maendeleo ya uwekaji wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja wa Taifa leo Juni 28,2016.
 Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge (kulia) akizungumza na wataalamu kutoka kampuni ya Selcom (Kushoto) kuhusu maendeleo ya uwekaji wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja wa Taifa leo Juni 28,2016. 
Picha zote na Raymond Mushumbusi WHUSM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...