Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge (kushoto) akizungumza na Meneja kampuni ya B.C.E.G Bw. Xiong (Kulia) kuhusu maendeleo ya uwekaji wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja wa Taifa leo Juni 28,2016.
Meneja kampuni ya B.C.E.G Bw. Xiong (Kulia) akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge (kushoto) kuhusu maendeleo ya uwekaji wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja wa Taifa leo Juni 28,2016.
Picha zote na Raymond Mushumbusi WHUSM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...