Washiriki wa Maonesho ya sabasaba katika banda la Wizara ya Ardhi Nyumba, na Maendeleo ya Makazi wakionesha vidole vyao Ardhini kama Ishara ya kuhamasisha utunzaji wa Ardhi.
2.Mwanamkuu Hashim ;Mpima ardhi akimuonesha Naibu katibu Mkuu Dr.Moses Kusiluka na Bwn Mpanda mashine ya kisasa ya kupima Ardhi (Pathefinder) alipotembelea Banda la Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika viwanja vya sabasaba.
David Malisa; Afisa Ardhi akikabidhi vipeperushi kwa mwananchi aliyetembelea Banda la Wizara ya Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya makazi baada ya kutoa Elimu kwa Mwananchi huyo.
Silvester S. Shumbusho ; Fundi Mkuu Mwanamizi wa wakala wa wa Taifa wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi akionyesha tofali bora ambalo ni mbadala wa mbao za linta, tofali hilo ni rafiki ya ya mazingira hasa uhifadhi wa misiti.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...