Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema akiongoza viongozi wa Manispaa ya Ilala kuweka vifaa vya usafi barabara ya Kivukoni.DC Mjema na viongozi wengine wa wilaya hiyo wanatekeleza agizo la Rais John Magufuli la kufanya usafi kila ifikapo Jumamosi ya mwisho wa mwezi.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema (katikati akiwa na baadhi ya viongozi wa Manispaa ya Ilala .Pichani kushoto ni Mkurugenzi wilaya ya Ilala Ndugu Msongela Palela pamoja na Katibu Tarafa Ndugu Edward Mpogoro kuweka vifaa vya usafi barabara ya KivukoniDC Sphia Mjea akielekeza jambo wakati wa kuweka vifaa vya usafi barabara ya kivukoni mapema leo,jijini Dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...