Wadau Evans na Teddy wa Atlanta MarCb ul  ekani usiku huu wako Azura Beach jijini Dar es salaam wakiwa katika mnuso wa nguvu baada ya kumeremeta hapo hapo ufukweni Azura katika sherehe iliyofurika ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya dunia. Picha zifuatazo zinaongea.
Picha na Frenja Digital Production.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 11, 2016

    Hongera sana Mungu awazidishie kwenye maisha yenu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...