Efm redio katika mwendelezo wa kuwafikia wasikilizaji na wadau wake katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam Ijumaa hii ya tarehe 29/7/2016 inakuletea vipindi vyake vyote live pale Mbagala – Zakhiem kuanzia saa 12:00 Asubuhi hadi saa 12:00 Jioni, ikianza na kipindi cha JOTO LA ASUBUHI. Vipindi hivi vitaambatana na burudani kutoka kwa wasani wa muziki wa singeli wakiwemo Majid Migoma, M-cizo, Dogo niga, Sholo Mwamba na yule mkali wa bongo fleva Juma Kassim maarufu kama Juma Nature pia atakuwepo. Lengo la Nje Ndani ya Efm redio ni kuwaelimisha, kuwapa burudani, kuwahabarisha lakini pia kuwaleta karibu wasikilizaji wake wa kituo cha redio cha E fm.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...