
Dkt. Mdhamin wa Kijiji cha Watoto (S.O.S) Zanzibar Abdulla Mohammed Hassan akimkabidhi Certificate Dkt. Natasha Hussein kwa niaba ya Jumuiya ya Kanga Maternity Trust kwa kazi nzuri waliyoifanya.

Baadhi ya walikwa katika Semina ya Jumuiya ya Kanga Maternity Trust. Picha na Makame Mshenga /Maelezo Zanzibar.

Daktari bingwa. Tarek Meguid wa wodi ya Wazazi Mnazimmoja Hospitali akitoa tarifa ya pili ya watafiti wazalendo kuhusu wajawazito na watoto katika Semina ya Jumuiya ya Kanga Maternity Trust iliyofanyika Tembo Hotel Mjini Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...