Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Dkt. Bilnith Mahenge (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mantra Tanzania, Frederick Kibodya alipofika katika kata ya Majengo kupokea msaada wa madawati 500 yaliyotolewa na kampuni hiyo.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dkt. Bilinith Mahenge wa kwanza mbele akikagua sehemu ya madawati 500 yaliyotolewa na kampuni ya Mantra Tanzania inayofanya utafiti wa madini ya Uran katika mto Mkuju wilayani Namtumbo mkoani humo,katikati nni mkuu wa wilaya ya Songea Oraleti Komando Mgema na wa kwanza kushoto ni mkurugenzi mkuu wa Mantra Frederick Kibodya.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mantra inayofanya utafiti wa madini ya Uran katika mto Mkuju wilayani Namtumbo, Frederick Kibodya (kushoto), akikabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dkt. Bilinith Mahenge moja kati ya madawati 500 yenye thamani ya shilingi milioni 40 ili yasaidie kupunguza tatizo la madawati kwa shule za msingi mkoani Ruvuma.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...