Asalaam aleykum warahmatullah wabarakat
An Noor Community Centre Leicester inawajulisha waislamu wote kuwa sala ya Eid l fitr itasaliwa saa mbili na nusu asubuhi (08.30am) hapo Masjid An Noor Leicester. Sala hiyo itakuwa kwa waumini wote wa kiislamu wa kike kwa kiume.
Address : 170a Belgrave gate
Leicester
LE1 3XL
Baada ya sala kutakuwa na kifungua
kinywa kwa waumini wote hapo hapo Masjid An Noor.
kinywa kwa waumini wote hapo hapo Masjid An Noor.
Shukran
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...