Diwani wa kata ya Ikuza iliyopo katika Kisiwa cha Ikuza , wilayani Muleba mkoa wa Kagera,Fortunatus Matta (Kulia) akimueleza jambo Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete alipoongozana na wanahabari kutembelea kijiji hicho cha Ikuza.Wengine ni wakazi wa kijiji hicho.
  Sehemu mbalimbali za Jengo la Zahanati ya kijiji cha Ikuza wilayani Muleba lililojengwa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kwa ushirikiano na Halmashauri ya wilaya ya Muleba mkoani Kagera.
Mzee William Lugaga akizungumza namna wananchi wa Kisiwa cha Ikuza wanavyopata shida katika kupata huduma ya afya hali ambayo imewalazimu kusafiri wa kutumia mitumbwi kwenda kutafuta huduma hiyo vijiji vya jirani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...