Sehemu ya Shehena ya Vilainishi aina ya KY Jerry iliyokamatwa Mkoani Shinyanga leo. Shehena ya Vilainishi aina ya KY Jerry imekamatwa Mkoani Shinyanga leo, hivi karibuni Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto kusitisha ugawaji wa Vilainishi miongoni mwa makundi maalumu yaliyo katika hatari ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI.
Home
Unlabelled
Vilainishi aina ya KY Jerry vyakamatwa Mkoani Shinyanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...