Wananchi wa Mbeya- Mbalizi, Shinyanga, - Stand Mpya,  Mwanza, Tanganyika Bus Stand, Moshi- Bus Stand na Soko Kibolon na Dar Es Salaam- Mbagala Kuu wamejitokeza kwa wingi kushuhudia na kujaza Fomu za kushindania shindano linaloendeshwa na Whitedent.
Wananchi wa mikoa ya  Mbeya, Mwanza, Moshi Watu wakijiandikisha kushinda moja ya magari yatakayotolewa kwa mshindi wa shindano la Whitedent.
 Baadhi ya Wananchi wa kijaza fomu kwaajili ya kushindania shindano linalochezeshwa na kampuni inayozalisha bidhaa za Meno ya Whitedent nchi nzima.
 Wakazi Mkoani Shinyanga wakishuhudia moja ya magari yatakayotolewa kwa mshindi la shindano la Whitedent. Katika msafara wa magari hayo unaozunguka nchi nzima, kama sehemu ya kusherehekea miaka 25 ya bidhaa hiyo katika utoaji huduma nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...