Mkurugenzi
Mkuu wa maduka ya woolworths nchini ,Joehans Mgimba akisalimiana na
baadhi ya Watoto wanaolelewa katika kituo cha New Hope Family Group,
kilichopo Mwasonga Kata ya Kisarawe , Kigamboni jijini Dar es Salaam,
wakati wafanyakazi wa Kampuni hiyo walipokwenda kutoa msaada wa
Baiskeli
na Vyakula mbalimbali kituoni hapo.Kulia ni mkuu wa fedha Samson Katemi.
Mkurugenzi
Mkuu wa maduka ya Woolworths nchini, Joehans Mgimba akiwa amempakia
kwenye baiskeli kijana Majaliwa Anthony, ambaye ni miongoni mwa Watoto
wanaolelewa katika
kituo cha New Hope Family Group Kilichopo Mwasonga Kata ya Kisarawe ,
Kigamboni jijini Dar es Salaam, ikiwa ni
ishara ya kuonyesha jinsi watoto hao watakavyokuwa wanabebana wakati wa
kwenda shule ili kuwahi masomo.kampuni hiyo ilitoa msaada wa baiskeri na
vyakula mbalimbali
kituoni hapo.
Watoto
wanaolelewa katika kituo cha New Hope Family Group Kilichopo Mwasonga
Kata ya Kisarawe , Kigamboni
jijini Dar es Salaamwa wakiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi wa
Woolworths, mara baada ya kukabidhiwa msaada wa baiskeli na vyakula
mbalimbali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...