Katibu
Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia masuala
ya Ujenzi Injinia Joseph Nyamhanga akimuonyesha Balozi wa Italia Bwana
Roberto Mengoni( kulia) baadhi ya barabara ambazo zimependekezwa
kuombewa mkopo wa masharti nafuu kutoka serikali ya Italia, kushoto ni
Mkurugenzi wa barabara nchini Injinia Ven Ndiyamukama

Katibu
Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia masuala
ya Ujenzi Injinia Joseph Nyamhanga akimuonyesha Balozi wa Italia Bwana
Roberto Mengoni( kulia) baadhi ya barabara ambazo zimependekezwa
kuombewa mkopo wa masharti nafuu kutoka serikali ya Italia, kushoto ni
Mkurugenzi wa barabara nchini Injinia Ven Ndiyamukama

Katibu
Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia masuala
ya Ujenzi Injinia Joseph Nyamhanga akimuonyesha Balozi wa Italia Bwana
Roberto Mengoni( kulia) baadhi ya barabara ambazo zimependekezwa
kuombewa mkopo wa masharti nafuu kutoka serikali ya Italia, kushoto ni
Mkurugenzi wa barabara nchini Injinia Ven Ndiyamukama.

Katibu
Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia masuala
ya Ujenzi Injinia Joseph Nyamhanga kushoto akimuonyesha Balozi wa
Italia Bwana Roberto Mengoni baadhi ya barabara ambazo zimependekezwa
kuombewa mkopo wa masharti nafuu kutoka serikali ya Italia.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...