Msaanii wa Muziki wa Singeli, Machupa akikonga mioyo ya wapenzi wa muziki huo kwenye tamasha la Mziki Mnene lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania.Tamasha hilo lililoanza jijini Dar es Salaam eneo la Boko mwishoni mwa wiki, litaendelea katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam.
Wakazi wa Dar es Salaam wakionyesha ujuzi wa kucheza muziki wa Singeli kwenye tamasha la Mziki Mnene lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania.Tamasha hilo lililoanza jijini Dar es Salaam eneo la Boko mwishoni mwa wiki, litaendelea katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam.
Muziki wa Singeli haubagui umri kama wapenzi hao wa muziki walivyokutwa wakisakata kwa hisia muziki wa Singeli kwenye tamasha la Mziki Mnene lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania.Tamasha hilo lililoanza jijini Dar es Salaam eneo la Boko mwishoni mwa wiki, litaendelea katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam.
Wakazi wa Boko jijini Dar es Salaam wakihangaika kucheza muziki wa Singeli kwenye tamasha la Mziki Mnene lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania.Tamasha hilo lililoanza jijini Dar es Salaam eneo la Boko mwishoni mwa wiki, litaendelea katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...