Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akihutubia wananchi wa Katoro na Buseresere wakati akielekea nyumbani
kwake Chato mkoani Geita leo Agosti 1, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na Mbunge wa Chato na Naibu Waziri wa Nishati na Mdini Mhe.
Dkt Medard Kalemani baada ya kuhutubia wananchi wa Katoro na Buseresere
wakati akielekea nyumbani kwake Chato mkoani Geita leo Agosti 1, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
katika picha ya pamoja na madiwani na viongozi wa Katoro na Buseresere
baada ya kuhutubia wananchi wakati akielekea nyumbani kwake Chato mkoani
Geita leo Agosti 1, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akimsabahi mtoto Shabani Kalemani (miezi 8) na mama yake Asha Simon
baada ya kuhutubia wananchi wa Katoro na Buseresere wakati akielekea
nyumbani kwake Chato mkoani Geita leo Agosti 1, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akilakiwa kwa furaha kijijini Bwanga wakati akielekea nyumbani kwake
Chato mkoani Geita leo Agosti 1, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimia wananchi kijijini Bwanga wakati akielekea nyumbani kwake
Chato mkoani Geita leo Agosti 1, 2016
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...