Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akihutubia mamia ya wakazi wa Geita mjini mara baada ya kuwasili
kutoka Kahama.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiwapungia mkono mamia wa wakazi wa Geita mara baada ya
kuwahutubia jana.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiondoka katika viwanja vya mikutano vya Geita mjini mara baada ya
kuhutubia.
Wananchi wa Geita wakionesha furaha yao wakati Rais Dkt.
Magufuli alipokuwa akihutubia mkutano viwanjani hapo. PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...