Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waislamu baada ya kushiriki
katika Sala ya Ijumaa kwenye Msikiti wa Anwar, Msasani jijini Dar es
salaam Agosti 2, 2016. 

Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kushiki sala ya Ijumaa
kwenye Msikitiwa Anwar, Msasani jijini Dar es salaam Agosti 2, 2016. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Bilal wakishiriki katika sala ya Ijumaa kwenye Msikiti wa Anwar, Msasani jijini Dar es salaam Agosti 2, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Bilal wakishiriki katika sala ya Ijumaa kwenye Msikiti wa Anwar, Msasani jijini Dar es salaam Agosti 2, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...