Mshambuliaji wa Timu ya Azam Fc, Yahaya Mohamed akiutulisha mpira mbele ya Mabeki wa Timu ya African Lyon, katika Mchezo wa muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ni Mzunguko wa pili, uliochezwa jioni ya leo katika Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Mechi hiyo imemalizika kwa suluhu ya ya bila kufungana 0-0.
Beki wa Azam Fc, Aggrey Moris akijaribu kutaka kuuzuia mpira uliokuwa umeelekezwa langoni kwao, katika Mchezo wa muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ni Mzunguko wa pili, uliochezwa jioni ya leo katika Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Mechi hiyo imemalizika kwa suluhu ya ya bila kufungana 0-0.
Beki wa Timu ya African Lyon, Bakari Jaffary akiruka juu na kuchukua mpira mbele ya Mshambuliaji wa Timu ya Azam Fc, John Bocco, katika Mchezo wa muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ni Mzunguko wa pili, uliochezwa jioni ya leo katika Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Mechi hiyo imemalizika kwa suluhu ya ya bila kufungana 0-0.
Kipa wa Timu ya African Lyon, Rostand Youth akipitwa na mpira ulioelekezwa langoni mwake na Mshambuliaji wa Timu ya Azam Fc, Yahaya Mohamed, goli ambalo lilikataliwa na Mwamuzi kutokana mchezi huyo kuwa ameotea.
Kipa wa Timu ya African Lyon, Rostand Youth akionekana ni mwenye maumivu makali baada ya kuumia alipokuwa akijaribu kuokoa moja ya hatari zilizoelekwa langoni kwake na kupelekea kujigonga kwenye moja ya nguzo za goli sehemu za mbavu na kupelekea kushindwa kabisa kuendelea na mchezo huo.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...