Kikosi cha Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, kilipoanza mazoezi leo asubuhi kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Majimaji utakaofanyika Uwanja wa Majimaji, mjini Songea, Jumamosi hii.
 Wachezaji wa Azam FC wakifanya mazoezi tofauti ya viungo
 Beki wa kati wa Azam FC, Aggrey Morris, akiruka juu kwenye mazoezi ya viungo ya kuruka koni.
 Beki wa kati wa Azam FC, Yakubu Mohammed, akimzuia winga Enock Atta Agyei
  Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, akijaribu kumtoka winga Enock Atta Agyei
Kipa wa Azam FC, Mwadini Ally, akiruka juu wakati wa mazoezi ya magolipa chini ya Kocha wa Makipa, Jose Garcia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...