SIMU TV: Kamanda wa Polisi mkoani Morogoro amesema watu wawili wameuawa kwa kupigwa risasi wakati wa msako wa waharifu; https://youtu.be/9j9MxtuOOqE

TBC: Jeshi la polisi limekamata zaidi ya magunia miambili ya mkaa yaliyokuwa yakisafirishwa kwenda Mwanza kinyemela; https://youtu.be/EkwsUh1w_Ak

SIMU TV: Mkuu wa wilaya ya Hai amewakamata na kuwaweka ndani maafisa wawili wa ushirika kwa kushindwa kutekeleza agazo alilowapa; https://youtu.be/8saJQ2iRZZA

SIMU TV: Waziri wa ardhi William Lukuvi aziagiza halmashauri kanda ya kaskazini kusimamia na kulinda maeneo wanayoishi kabila la Wahadzabe; https://youtu.be/DxpnU1NPYkQ

TBC: Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu awataka wananchi Zanzibar kuzitumia Madrasa katika malengo yaliyokusudiwa; https://youtu.be/kkvHFB4ayhA

SIMU TV: Watu wawili wafariki dunia na wengine kulazwa kutokana na kulipuka kwa ugonjwa wa Kipindupindu mkoani Dodoma; https://youtu.be/4rmhl8dZgfg

SIMU TV: Mamlaka ya udhibiti wa nishati na maji EWURA yawasilisha mapendekezo ya bei elekezi ya gesi asilia; https://youtu.be/tTL_eC2J50c

SIMU TV: Mjasirimali Rukia mkazi wa Kijitonyama Dar es Salaam awataka wajasiriamali kuwa wabunifu katika biashara zao; https://youtu.be/i3wKwCf5ar8

SIMU TV: Timu ya Yanga yabanwa mbavu kwa kutoa sare ya goli moja kwa moja na timu ya African Lyon katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara; https://youtu.be/7XJGrUvzuuM

SIMU TV: Timu ya Simba kesho itashuka katika dimba la Uhuru kukipiga na timu ya JKT Ruvu katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara; https://youtu.be/hsvr8C1aKeY

SIMU TV: Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema awataka wananchi kupenda kushiriki katika michezo ya bahati nasibu; https://youtu.be/yrcGZ83FjUU

SIMU TV: Msaani wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz anatarajia kutumbuiza mkoani Iringa Disemba 25 mwaka huu; https://youtu.be/3uwpCwMRK94

SIMU TV: Rais Dkt John Magufuli amemuapisha Jaji Semistocles Kaijage kuwa mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi NEC ; https://youtu.be/6WuBDqTy_AI

SIMU TV:  Rais Dkt John Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wamemtembelea na kumjulia hali Kadinali Pengo ambae amefiwa na dada yake; https://youtu.be/GE7OFyeM74c

SIMU TV:  Mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi Jaji Semistocles Kaijage amesema chaguzi zote ndogo zitafanyika January 22. 2017 ; https://youtu.be/TKRA9mlTqbU

SIMU TV:  Kukithiri kwa uharibifu wa mazao unaofanywa na wanyama pamoja na ukame wa kudumu vimetajwa kuwa ni sababu za kuzuka kwa njaa Mara; https://youtu.be/soYW6Eer35Q

SIMU TV:  Vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto na wanawake vimezidi kuathiri maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi wilayani Karatu; https://youtu.be/iRXrwGqr6Tc

SIMU TV:  Chama cha watu wenye Ualbino leo kimeikumbusha serikali kuwaharakishia upatikanaji wa Bima kwa ajili ya kutunza afya zao; https://youtu.be/GsV7gnV9sIQ

SIMU TV:  Serikali imeombwa kupunguza baadhi ya kodi kwa bidhaa zinazozalishwa ndani ili ziweze kushindana na zile zinazoingizwa kutoka nje; https://youtu.be/O29kWYfqkDI

SIMU TV:  Mamlaka ya udhibiti wa nishati na maji EWURA imekutana na wadau wa nishati ya gesi nchini ili kujadili bei ya elekezi ya gesi; https://youtu.be/a4hPPCksCCE


SIMU TV:  Klabu ya soka ya Stand United imesema licha ya kupoteza mchezo wao wa kwanza bado akili zao wamezielekeza kwa Kagera Sugar; https://youtu.be/fn7-RxrPNwI

SIMU TV:  Kocha mkuu wa klabu ya Azam amesema timu yake itafanikiwa kutinga katika hatua ya makundi baada ya kufanya mazoezi ya nguvu; https://youtu.be/1Oaiq0Xbyaw

SIMU TV:  Timu ya taifa ya Senegal imefanikiwa kuwa kinara katika viwango vya soka duniani baada ya kushika nafasi ya 33 kidunia na namba moja Afrika; https://youtu.be/Klk9gU3CSRs

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...