Balozi wa India Sandeep Arya akiongea na waandishi wa habari wakati wa hafla ya uzinduzi wa maonesho ya bidhaa za vyakula kutoka India uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip, Dar Es Salaam.

Wageni waalikwa wakifuatilia kwa makini mkutano huo wa uzinduzi wa maonesho hayo.

Balozi wa India Sandeep Arya akipata maelezo toka kwa mmoja wa wafanyabiashara wa bidhaa za vyakula toka india mara baada ya  hafla ya uzinduzi wa maonesho ya bidhaa vya vyakula kutoka India uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip, Dar Es Salaam.

Maonesho ya bidhaa za vyakula yakiendelea.
Habari kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...