Mwili wa Marehemu Mzee Yusuph Mzimba ukisafirishwa kwenda Msoga Chalinze kwa maziko. Kwa mujibu wa mtoto wa Marehemu, Bw. Kampira, amesema kuwa Rais mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwaongoza waombolezaji katika maziko yatakayofanyika katika makaburri ya Familia uko kijiji kwake.
 Kisomo katika  msiba wa Mzee Yusuph Mzimba huko Magomeni Kwa Bi Nyau  jijini Dar es salaam kabla ya mwili wake kuswaliwa na kisha kupelekwa kijijini kwake Msoga, Chalinze, Mkoa wa Pwani kwa Mazishi leo Desemba 4, 2016.
 Mzee Ibrahim Akilimali akimzungumzia  marehemu Yusuf Mzimba huko Msoga kabla ya Mazishi.
 Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Bw. Imani Madega wakiwa msibani Msoga. Kushoto kwake ni Rais wa TFF Bw. Jamal Malinzi na kulia kwake ni Mzee Ibrahim Akilimali na Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe. Majid Mwanga (kushoto)
 Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili  msibani kijini Msoga
Waombolezaji wakimalizia mazishi ya Mzee Yusufu Mzimba katika makaburi ya familia yake kijini Msoga jioni hii.
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...