
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo akikabidhiwa madawati 200 na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro, Karogeris. Madawati hayo yametolewa na CCM mkoa huo kwa ajili ya kuiunga mkono serikali katika suala la upatikanaji madawati

Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo akimpongeza Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dk. Steven Kebwe wakiwa wamekalia madawati hayo bada ya makabidhiano.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi kwa jumla nye ya Ofisi ya CCM mkoa wa Morogoro leo

Karogeris akimkaribisha Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara kufungua semina hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...