Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Mstaafu,Salum Kijuu (katikati) akiwa katika picha ya pampja na Uongozi wa PRIDE Tanzania, ulioongozwa na Meneja wake wa Kanda ya Ziwa, Bi. Hilda Nsombo (wa tatu kulia) baada ya zoezi la upokeaji wa misaada mbalimbali kwa waathirika wa tetemeko la ardhi lililotokea Mkoani Kagera hivi katibuni. Wengine ni Meneja wa PRIDE tawi la Bukoba, Afisa wa PRIDE tawi la Bukoba pamoja na viongozi wa wateja wa PRIDE tawi la Bukoba.
Meneja wa Pride Kanda ya Ziwa, Bi. Hilda Nsombo akikabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Mstaafu, msaada wa mabati na mifuko ya saruji kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi lililotokea Mkoani Kagera.
Afisa wa PRIDE Tanzania, Ndugu Samson Tenga akifanya tathmini kabla ya kumkabidhi Mteja wa PRIDE Tanzania, Tawi la Bukoba mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yake ambayo ilibomoka kutokana na janga la tetemeko la ardhi lililotokea Mkoani Kagera hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...