Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Mstaafu,Salum Kijuu (katikati) akiwa katika picha ya pampja na Uongozi wa PRIDE Tanzania, ulioongozwa na Meneja wake wa
Kanda ya Ziwa, Bi. Hilda Nsombo (wa tatu kulia) baada ya zoezi la
upokeaji wa misaada mbalimbali kwa waathirika wa tetemeko la ardhi
lililotokea Mkoani Kagera hivi katibuni. Wengine ni Meneja wa PRIDE tawi
la Bukoba, Afisa wa PRIDE tawi la Bukoba pamoja na viongozi wa wateja
wa PRIDE tawi la Bukoba.
Meneja
wa Pride Kanda ya Ziwa, Bi. Hilda Nsombo akikabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa
Kagera Brigedia Jenerali Mstaafu, msaada wa mabati na mifuko ya saruji
kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi lililotokea Mkoani Kagera.
Afisa wa PRIDE Tanzania, Ndugu Samson Tenga akifanya tathmini kabla ya kumkabidhi
Mteja wa PRIDE Tanzania, Tawi la Bukoba mifuko ya saruji kwa ajili ya
ujenzi wa nyumba yake ambayo ilibomoka kutokana na janga la tetemeko la
ardhi lililotokea Mkoani Kagera hivi karibuni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...