Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Mauritius Bw. Santaram BABOO, akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Tanzania, Prof. Makame Mbarawa alipomtembelea ofisini kwake jijiin Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Tanzania, Prof. Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Mauritius Bw. Santaram BABOO, walipokutana kwa majadiliano kuhusu ushirikiano baina ya Wizara zao, jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Tanzania, Prof. Makame Mbarawa (wa nne
kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe kutoka nchini Mauritius, wa
pili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa na Utamaduni wa Mauritius, Dkt.
Nalimi LUCKHEENARAIN, na wa tatu kushoto ni
Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Mauritius Bw. Santaram BABOO.
Imetolewa
na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...