Mbunge wa Mkuranga Bw Hamisi Abdala Ulega Akisalimiana na Mmoja wa Waumini Bw Alfred John Kanisani hapo
 Akiwa Katika Dua ya Pamoja na waumini wa Kanisa hilo la Kigango cha Mwanambaya Wilayani Mkuranga.
Mbunge wa Mkuranga Bw Hamis Abdala Ulega Akiongea na Waumini wa Kanisa la Kigango cha Mwanambaya lililopo Mwanambaya Wilayani Mkuranga na Kuwataka kumkumbuka Muumba katika kila Jambo Katika Maisha yao kila siku.Picha na Yasir Adam Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...