
Pengine bado unajiuliza “Professional Email” ni nini, ukiangalia mfano hapo juu wa barua pepe ya brian.mbunde@kampuniyako.co.tz inaonesha jina kamili la mhusika na kuna domain ya kampuni. Hii inamaanisha kwamba hauwafanyi watu waone jina lingine tofauti na jina lako halisi hivyo kuwapa mitazamo tofauti linapokuja suala la biashara (Uaminifu) na hapo ndipo Microsoft O365 inakuletea kile unachohitaji mahali unapokuwa.
Unapataje Barua pepe ya Biashara?
Jinsi ya kupata ni rahisi sana, unachotakiwa kufanya ni kuwa tu na email na kisha kuwa na “domain” ambayo imehifadhiwa mahali (server). Baada ya hapo utapewa uhifadhi kumbukumbu unaofikia 1 TB, kuwekewa Microsoft Office kwenye kompyuta mpakato yako na kwenye simu yako pia. Huduma nyingine zinahusisha “HD Video Conferencing”.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...