Bw. Harusi Zubeir Imani na mkewe, Bi. Zawadi Mohamed wakiyarudi magoma wakati walipokuwa wakiingia ukumbini katika tafrija maalum ya kuwapongeza kwa kuungana kwao, iliyofanyika katika ukumbi wa Kilimanjaro uliopo Viwanja vya Sabasaba, Jijini Dar es salaam jana Desemba 24, 2016.
Bw. Harusi Zubeir Imani na mkewe, Bi. Zawadi Mohamed wakiyarudi magoma.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...