Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa pili kulia),  Balozi wa Korea nchini, Song, Geum-Young  (wa pili kushoto) na Watendaji wa kampuni ya Empower itakayotoa mafunzo ya utengenezaji wa vifaa vya Umeme Jua nchini, Dkt. Hong Kyu Choi (kulia) na Dkt. Herb Rhee (kushoto) . wakiwa wameshika  taa za  Umeme Jua  zinazotengenezwa na kampuni hiyo.

 Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa kwanza kulia) akizungumza  wakati Balozi wa Korea nchini,  Song, Geum-Young  (wa Tatu kushoto) na Watendaji wa kampuni ya Empower itakayotoa mafunzo ya utengenezaji wa vifaa vya Umeme Jua nchini, Dkt. Hong Kyu Choi (wa Pili kushoto) na Dkt. Herb Rhee (wa kwanza kushoto),  walipofika ofisini kwake ili kumuonesha  vifaa vya Umeme Jua vinavyotengenezwa na kampuni hiyo ikiwemo Taa na Chaja za Simu.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akiwasha Taa ya Umeme Jua wakati  Balozi wa Korea nchini,  Song, Geum-Young  (hayupo pichani) na Watendaji wa kampuni ya Empower itakayotoa mafunzo ya utengenezaji wa vifaa vya Umeme Jua nchini, Dkt. Hong Kyu Choi (kulia) na Dkt. Herb Rhee (hayupo pichani),  walipofika ofisini kwake ili kumuonesha  vifaa vya Umeme Jua vinavyotengenezwa na kampuni hiyo ikiwemo Taa na Chaja za Simu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...