Mbunge wa Tanzania,Dr Immaculate Semesi Sware akitoa mada ya JUKUMU LA VYAMA VISIVYO VYA KISERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE kwenye mkutano wa CPA unaoendelea jijini London, Uingereza

Wabunge wa Tanzania walioko London Uingereza kushiriki Mkutano wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola (CPA) katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Dkt. Asha Rose Migiro walipomtembelea ubalozini jijini London.

Balozi Migiro akiwa na Wabunge walipomtembelea ofisini kwake jijini London. Picha kwa hisani ya Ofisi ya Bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...