Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akiwasili katika mgodi wa Jasi uliopo katika kijiji cha Makangaga wilayani Kilwa, mkoani Lindi. Wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Wachimbaji Mkoa wa Lindi, Peter Ludovick.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akizungumza jambo wakati wa ziara ya ukaguzi wa shughuli za uchimbaji madini ya Jasi Mkoani Lindi. Kulia kwake ni Kwanza Kilwa Mining Products, Mwalimu Zuberi akifuatiwa na Mwenyekiti wa Wachimbaji Mkoa wa Lindi, Peter Ludovick na Makamu Mwenyekiti wa Wachimbaji Lindi, Faridu Shaweji.
Madini ya Jasi yakiwa yamerundikwa kandokando ya barabara kuu yakisubiri soko. Takribani tani 26,000 imerundikwa hapo kwa ajili ya kurahisisha usafirishaji pindi soko linapopatikana.
Madini ya Jasi yakiwa yamelundikwa kandokando ya barabara kuu yakisubiri soko.
Moja ya mgodi wa madini ya Jasi ambapo uchimbaji unaendelea kutegemea na soko. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...