Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakitoa damu kuchangia  Mpango wa Taifa wa Damu Salama Kanda ya Mashariki, katika ofisi za makao makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam leo, ikiwa ni shughuli iliyopangwa na kampuni hiyo kuadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani inayoadhiimishwa Desemba Mosi kila mwaka. Wafanyakazi hao walitoa damu lita 50 kuchangia mpango wa damu salama nchini.
Mtaalamu wa Maabara wa mpango wa Damu Salama Taifa Kanda ya Mashariki, Grace Isidori  (aliyesimama) akisaidia wafanyakazi wa Vodacom Tanzania kutoa damu kuchangia  mpango wa damu salama katika ofisi za makao makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam leo,  ikiwa ni shughuli iliyopangwa na kampuni hiyo kuadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani inayoadhiimishwa Desemba Mosi kila mwaka. Wafanyakazi hao walitoa damu lita 50 kuchangia mpango wa damu salama nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Huyo anayewatoa damu hajavaa gloves? au ziko laini sana hazionekani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...