Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa serikali na Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro uliopo kwenye ukumbi wa halmashauri hiyo iliyopo Wasso Desemba 15, 2016. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
1A7872, 1a7873, Baadhi ya watumishi wa serikali na halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye ukumbi wa halmashauri hiyo uliopo Wasso wilayani Ngorongoro Desemba 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...