Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Dkt. Hassan Abbas (Pichani kati) akizungumza na waandishi wa habari mara baada kukamatwa kwa watu wanaodaiwa kutaka kusajili gazeti kwa nyaraka za kughushi leo jijini Dar es Salaam, Kulia ni Kaimu Msajili wa Idara ya Habari Maelezo, Patrick Chipangula na kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO,Lilian Lundo. Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.
watuhumiwa waliotaka kusajili gazeti kwa nyaraka za kugushi wakiwa chini ya ulinzi leo jijini Dar es Salaam.
watuhumiwa waliotaka kusajili gazeti kwa nyaraka za kugushi wakiwa chini ya ulinzi leo jijini Dar es Salaam,tayari kuelekea kituo cha polisi kati.Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...