Kaimu Mkurugenzi wa DCB, Steven Dede akizungumza na waandishi wa habari mwishoni wa wiki hii wakati wa droo ya promosheni ya Boresha maisha na DCB mwishoni mwa wiki hii, kulia ni Mkuu wa uendeshaji wa matawi wa DCB Haika Machaku.
Kaimu Mkurugenzi wa DCB, Steven Dede akiwa anabonyeza kuanza kwa droo hiyo akishuhudiwa na mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha (Bahati Nasibu) Bakari Maggid (kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...