Na Antony John ,Globu ya Jamii
TASISI inayoshughulika na uandaaji wa Semina na Makongamano ya Mafunzo ya kazi kwa vitendo ya Guru Plane, imeandaa Semina ya kuwajengea uwezo vijana walio hitimu vyuo vikuu pamoja na vyuo mbalimbali ilikuepukana na tatizola ajira nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo mkurugenzi mtendaji wa tasisi hiyo Nickosn Magezi amesema Vijana wengi ukumbwa na kizingiti cha changamoto ya uzoefu wa kazi wanapoingia katika soko la ajira.
Magezi amesema utafiti unaonyesha vijana wengi wanao hitimu vyuo vikuu na vyuo vingine Nchini wanakumbana na changamoto za kutopata ajira kutokana sababu ambazo zimekuwa zikitumiwa na waajiri wengini ni suala la wahitimu kukosa uzoefu wa kazi.
“ Semina hii itakuwana lengo la kuwajengea uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi na kuwapatia uzoefu wahitimu wa vyuo mbalimbali kwa mafunzo ya vitendo hilo ndio lengo kubwa ya semina yetu” amesema Magezi.
Sanjari na hayo ameongeza kuwa semina ya mafunzo ya kazi kwa vitendo imeweza kutatua changamoto za ukosefu wa ajira hasa pale taasisi na makampuni zinapokuwa zimehakikishiwa uzoefu wa kazi unaoendana na soko la ajira.
TASISI inayoshughulika na uandaaji wa Semina na Makongamano ya Mafunzo ya kazi kwa vitendo ya Guru Plane, imeandaa Semina ya kuwajengea uwezo vijana walio hitimu vyuo vikuu pamoja na vyuo mbalimbali ilikuepukana na tatizola ajira nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo mkurugenzi mtendaji wa tasisi hiyo Nickosn Magezi amesema Vijana wengi ukumbwa na kizingiti cha changamoto ya uzoefu wa kazi wanapoingia katika soko la ajira.
Magezi amesema utafiti unaonyesha vijana wengi wanao hitimu vyuo vikuu na vyuo vingine Nchini wanakumbana na changamoto za kutopata ajira kutokana sababu ambazo zimekuwa zikitumiwa na waajiri wengini ni suala la wahitimu kukosa uzoefu wa kazi.
“ Semina hii itakuwana lengo la kuwajengea uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi na kuwapatia uzoefu wahitimu wa vyuo mbalimbali kwa mafunzo ya vitendo hilo ndio lengo kubwa ya semina yetu” amesema Magezi.
Sanjari na hayo ameongeza kuwa semina ya mafunzo ya kazi kwa vitendo imeweza kutatua changamoto za ukosefu wa ajira hasa pale taasisi na makampuni zinapokuwa zimehakikishiwa uzoefu wa kazi unaoendana na soko la ajira.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...