Naibu waziri  wa ardhi na maendeleo ya makazi Angelina Mabula katikati  wa  tano akiwa  na  viongozi  wa  wilaya ya  kilolo na wajumbe  wa  baraza la ardhi la kata ya Mtitu  Kilolo wa  pili  kulia ni  mbunge  wa  Kilolo  Venance  Mwamoto na wa  pili  kulia ni mwenyekiti wa  Halmashauri ya  Kilolo akifuatiwa  na  Dc  kilolo Asia Abdalah
Dc  Kilolo Asiah Abdalah  akifungua  kikao
Naibu  waziri Bi Mabula  akitoa  maelekezo kwa mwenyekiti  wa  kijiji  cha   Irole jana  kulia ni Dc wa Iringa Richard  Kasesela, mbunge  Venance  Mwamoto na Dc  Kilolo Asia Abdallah
Mwenyekiti  wa  baraza  la ardhi kata ya  Mtitu  Veronica Salangwa  akitoa  maelezo mbele ya  naibu  waziri  kulia  ni mbunge  Mwamoto. Kushoto ni Dc  wa Kilolo Asia Abdalah na naibu  waziri  Mabula

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...