Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania, Egon Kochanke akipewa maelezo na Mchoraji wa picha, Bw. Douglas Kahabuka katika Maonyesho ya kitalii ya kazi za sanaa na uvumbuzi wa kitaalamu juu ya Watanganyika waliokuwa wakipambana na Utawala wa Wajerumani, Onyesho hilo limepewa jina la ‘Kuishi Ndani ya Simulizi’ linahusisha vitu, michoro, picha za kuchora, filamu, vifaa na utafiti yaliyofanyika jana mjini Songea katika Jumba la Makumbusho ya vita vya Majimaji mjini Songea. Wengine ni Chifu wa kabila la Wangoni, Emmanuel Zulu akiwa pamoja na viongozi wenzake wa kabila la wangoni.
Mtaalamu wa Tafiti za Historia, Lili Reyels (kulia) akimueleza Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania, Egon Kochanke ( wa tatu kushoto) ,kuhusiana na Maonyesho ya kitalii ya kazi za sanaa na uvumbuzi wa kitaalamu juu ya Watanganyika waliokuwa wakipambana na Utawala wa Wajerumani, Onyesho hilo limepewa jina la ‘Kuishi Ndani ya Simulizi’ linahusisha vitu, michoro, picha za kuchora, filamu, vifaa na utafiti yaliyofanyika jana mjini Songea katika Jumba la Makumbusho ya vita vya Majimaji. Wengine ni Chifu wa kabila la Wangoni, Emmanuel Zulu ( wa pili kulia) akiwa pamoja na viongozi wa Mila ya wangoni. 
Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania, Egon Kochanke (kushoto) akiwa na Chifu wa Kabila la Wangoni, Emannuel Zulu ( wa kwanza kulia) akizungumza mara baada ya kupata maelezo kwa Mchoraji wa picha, Bw.Douglas Kahabuka (katikati) katika Maonyesho ya kitalii ya kazi za sanaa na uvumbuzi wa kitaalamu juu ya Watanganyika waliokuwa wakipambana na Utawala wa Wajerumani, Onyesho hilo limepewa jina la ‘Kuishi Ndani ya Simulizi’ linahusisha vitu, michoro, picha za kuchora, filamu, vifaa na utafiti yaliyofanyika jana mjini Songea katika Jumba la Makumbusho ya vita vya Majimaji. Wengine ni Chifu wa kabila la Wangoni, Emmanuel Zulu akiwa pamoja na viongozi wenzake wa kabila la wangoni.



Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania, Egon Kochanke (kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa kabila la wangoni huku wakipeana mikono na Chifu wa Kabila la Wangoni, Emannuel Zulu (kushoto) mara baada ya kuzindua Maonyesho ya kitalii ya kazi za sanaa na uvumbuzi wa kitaalamu juu ya Watanganyika waliokuwa wakipambana na Utawala wa Wajerumani, Onyesho hilo limepewa jina la ‘Kuishi Ndani ya Simulizi’ linahusisha vitu, michoro, picha za kuchora, filamu, vifaa na utafiti yaliyofanyika jana mjini Songea katika Jumba la Makumbusho ya vita vya Majimaji. Wengine ni watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...