Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makala akitangaza kikosi cha watu nane kutoka nje ya halmashauri ya Jiji kinachojumuisha watalaam wa ardhi kutoka  ofisi ya Mkuu wa Mkoa, halmashauri Mbeya, Mkuu wa Wilaya, wanasheria na vyombo vya Dola. 
amesema kikosi kazi kitaanza  kwa awamu ya  kwanza ambapo kitashughulikia migogoro ya ardhi Kata  ITEZI na MWAKIBETE.
Amekipa kikosi kazi hicho muda wa siku 14 kushughulikia migogoro katika kata hizo mbili na watoe ushauri wa namna ya kuimaliza migogogoro  iliyopo. 
Amebainisha kuwa migogoro mingi katika  jiji la Mbeya inakutokana na kutolipa fidia, umilikishaji watu zaidi ya mmoja katika  kiwanja kimoja na Baadhi ya wawekezaji kutoendeleza maeneo yao kwa muda mrefu
Amefanikiwa kumaliza  mvutano wa umiliki wa soko kati ya CCM na serikali ya  mtaa na kata. Kwa mujibu wa hati za kiwanja CCM  ni wamiliki halali kwa kuwa na hati Bambi 81 BB
Mkuu wa Mkoa  huyo amepokea  kero mbalimbali kutoka kwa wananchi kuhusiana na Mgogoro wa wananchi na wamiliki wa ardhi maeneo ya viwanda.
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makala  akitoa maagizo wakati alipotembelea sehemu mbalimbali zenye migogoro ya ardhi jijini humo
Wananchi wakitoa kero zao za ardhi kwa Mkuu wa Mkoa  wa mbeya  kuhusiana na migogoro ya ardhi.
 Wananchi wakitoa kero zao za ardhi kwa Mkuu wa Mkoa  wa mbeya  kuhusiana na migogoro ya ardhi.
Wananchi wakitoa kero zao za ardhi kwa Mkuu wa Mkoa  wa mbeya  kuhusiana na migogoro ya ardhi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...