Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Maganga (kati) akimsikiliza Afisa Suleiman Saleh (kulia) leo Jumatano Feb 22, 2017 Mhe. Mkuu wa mkoa wa Kigoma alipotinga Wiazani hapo kuwasabahi maswahiba wake waliowahi kutumikia pamoja miaka ya nyuma kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Kushoto ni mkuu wa kitengo cha mawasiliano katika Wizara hiyo Bi. Mindi Kasiga.
Kutoka Kushoto ni mkuu wa kitengo cha mawasiliano Wizara ya Nje na Ushirikiano wa Affrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga, Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia Jenerali Maganga na Afisa Suleman Saleh wakiwa katika picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...