Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima
ya Afya (NHIF) Ally Mwakababu akizungumza wakati wa kikao cha pamoja
baina yao na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga kuhusu umuhimu
wa kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili waweze kunufaika na
huduma zitolewazo
Mkurugenzi wa Halmashauri ya
wilaya ya Mkinga,kushoto ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
(NHIF)Ally Mwakababu kulia ni Mratibu wa CHF wilaya ya Mkinga,Rashid
Gembe
Afisa Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
Mkoani Tanga (NHIF)
Miraji Kisile akieleza umuhimu wa watumishi wa halmashauri hiyo kujiunga
na mfuko huo ili kuweza kunufaika na huduma zinazotolewa wakati wa
kikao hicho kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...