Katika kuendeleza wajibu wake wa kutoa mafunzo ya muda mfupi, ECONOMIC DIPLOMACY –TRAINING ACADEMY iimeendesha mafunzo ya juma moja ya Itifaki na Uhusiano wa Kibiashara ‘PROTOCOL AND BUSINESS ETIQUETTE SHORTCOURSE kati ya tarehe 22 -25 February, 2017. Mafunzo haya yalilenga kuwaongezea uwezo maafisa mbali mbali kutoka serekalini na sekta binafsi.
Mafunzo haya ni muendelezo wa mafunzo  ya muda mfupi yatolewayo na ECONOMIC DIPLOMACY –TRAINING ACADEMY  kila mwezi, 

katika mafunzo hayo ambayo Kwa kawaida wawezeshaji wa mafunzo hayo ya muda mfupi katika, huwa ni mabalozi na wakufunzi waliobobea katika mambo ya Diplomasia na hivyo kuwapa washiriki uzoefu na mafunzo ya kiutendaji zaidi ili kuwajengea uwezo na ufanisi katika kuboresha majukumu yao. Kusoma zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...