Katika kuendeleza wajibu wake wa kutoa mafunzo
ya muda mfupi, ECONOMIC DIPLOMACY –TRAINING ACADEMY iimeendesha mafunzo ya
juma moja ya Itifaki na Uhusiano wa Kibiashara ‘PROTOCOL AND BUSINESS ETIQUETTE SHORTCOURSE kati ya tarehe 22 -25 February, 2017. Mafunzo haya yalilenga
kuwaongezea uwezo maafisa mbali mbali kutoka serekalini na sekta binafsi.
Mafunzo haya ni muendelezo wa mafunzo ya
muda mfupi yatolewayo na ECONOMIC DIPLOMACY –TRAINING ACADEMY kila mwezi,
katika mafunzo hayo
ambayo Kwa kawaida wawezeshaji
wa mafunzo hayo ya muda mfupi katika, huwa ni mabalozi na wakufunzi waliobobea
katika mambo ya Diplomasia na hivyo kuwapa washiriki uzoefu na mafunzo ya
kiutendaji zaidi ili kuwajengea uwezo na ufanisi katika kuboresha majukumu yao. Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...