The Rabbit Bliss ni Kampuni inayojihusisha na ufugaji wa Sungura na kutoa Mafunzo ya namna ya kufuga Sungura hapa nchini, wanapatikana Majohe mbele ya Gongo la Mboto, Jijini Dar es salaam.
kwa maelezo zaidi wasiliana nao kwa namba hizi +255 713 448 899


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...