Mwanasheria toka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Bw. Manchare Heche akikagua moja ya pombe aina ya Kiroba Original mapema hii leo jijini Dar es Salaam wakati wa operesheni ya kusaka wasambazaji wa kinywaji hicho ambacho Serikali imepiga marufuku kutumika.
 Mwanasheria toka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Bw. Manchare Heche (kulia) akipata maelekezo toka kwa msimamizi wa ghala lanalohifadhi pombe aina ya kiroba original Bw. Mhina Rashid (kushoto) Original mapema hii leo jijini Dar es Salaam wakati wa operesheni ya kusaka wasambazaji wa kinywaji hicho ambacho Serikali imepiga marufuku kutumika, katikati ni Mkaguzi wa Chakula toka TFDA Bw. John Nzila.

Sehemu ya Shehena ya maboksi ya pombe aina ya Kiroba Original ilikutwa katika ghala lililopo  Mabibo jijini Dar es Salaam.
 Mwanasheria toka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Bw. Manchare Heche akizungumza na waandishi wa habari katika ghala la kuhifadhi pombe aina viroba  lililopo Mabibo jijini Dar es Salaam wakati wa operesheni ya kusaka wasambazaji wa kinywaji hicho ambacho Serikali imepiga marufuku kutumika.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...