SIMU.TV; Bodi ya shirika la reli nchini TRL yawataka wafanyakazi wa shirika hilo kubadilika katika utendaji wao ili shirika hilo liweze kuwa na tija.https://youtu.be/_x0yl252YD4 

SIMU.TV; Shirikisho la mifuko ya hifadhi ya jamii nchini TSSA yakubaliana na serikali kujenga viwanda vikubwa 27 nchini ili kuunga mkono sera ya sasa ya uchumi wa viwanda. https://youtu.be/GpYK4NOOdFM 

SIMU.TV; Operesheni ya kukagua uzuiaji wa utengenezaji na pombe za Viroba yafanikiwa kukamatwa kwa shehena yenye thamani ya shilingi bilioni 10 tangu ianze.https://youtu.be/TYQa6l548Pg 

SIMU.TV; Mshambuliaji hatari wa kimataifa kutoka Tanzania Mbwana Samatta aendelea kutema cheche huko Ubelgiji baada ya kuifungia timu yake goli 2.https://youtu.be/RpMoIZlC0vs 

SIMU.TV;  Mabingwa watetezi wa ligi kuu klabu ya Yanga imebanwa koo na Klabu ya Mtibwa sugar baada ya kulazimishwa sare ya 0 kwa 0. https://youtu.be/_qCejQWunHo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...