Mbunge wa viti maalum wa Pwani, Hawa Mchafu Chakoma (CCM) akizungumza kwenye kongamano la vijana kuhusu mchakato wa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018 uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Picha na Geofrey Adroph
 Mbunge wa Kasulu Vijijini, Vuma Augustine (CCM) akizungumza na vijana kwenye kongamano lililoandaliwa na Asasi ya Dira ya Vijana (TYVA) kwa kushirikiana na asasi za mbalimbali za vijana katika kujadili vipaumbele vya vijana katika bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kuhusu namna ambavyo wabunge wanajaribu kupigania maslahi ya vijana kwenye bajeti. 

Mbunge wa viti maalum wa Katavi, Rhoda Edward Kunchela(CHADEMA) akizungumza na vijana kuhusu mchakato wa bajeti unavyofanyika kutoka ngazi ya chini mpaka ya juu kwenye kongamano la vijana lililofanyika leo kwenye ukumbi wa Wanyama jijini Dar es Salaam.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...