Kamati ya Utalii ya Jiji la Mbeya,  Waandishi wa Habari pamoja na Mwalimu mwenyeji Mwl Emmanuel Michael wakiwa eneo lilipo Bwawa la Kuogelea lililojengwa na Enzi za Mkoloni katika shule ya Sekondari ya Iyunga jijini humo.
 Birika la kale lililokuwa likitumika na Utawala wa Kijerumani kwa ajili ya kuhifadhia maji na vitu vingine vinavyofanana na hivyo ambalo uongozi wa Shule ya Sekondari Iyunga wamelitunza vizuri hadi hivi sasa
 Kiti hiki ni moja ya vivutio shuleni hapo kilitengenezwa zaidi ya miaka 90 iliyopita enzi za Utawala wa Kikoloni wa Kijerumani
 Ukuta huu ulijengwa na Wajerumani pembezoni mwa Mto Nzovwe kwa ajili ya Ulinzi na Usalama kwani chini ya Ukuta huu kuna Handaki kubwa linalounganisha maeneo ya ndani ya shule na nje ya eneo hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...