Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akisalimia na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi Virginia Blaser aliyefika ofisini kwa Waziri huyo kwa lengo la kujadiliana namna wanayoweza kusaidia Mashirika na vikundi vya kijamii katika masuala ya usalama wa raia na haki zao.
Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi Virginia Blaser akisaini kitabu cha wageni alipofika ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi alipomtembelea waziri wa wizara hiyo (anayesoma kadi) kwaajili ya kujadiliana namna wanayoweza kusaidia Mashirika na vikundi vya kijamii katika masuala ya usalama wa raia na haki zao. Wa kwanza kulia ni Mwakilishi wa Ubalozi wa Marekani nchini, Jamal Jafari.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo wakati alipokua akiongea na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi Virginia Blaser aliyefika ofisini kwa Waziri huyo kwa lengo la kujadiliana namna wanayoweza kusaidia Mashirika na vikundi vya kijaa katika masuala ya usalama wa raia na haki zao. Kaimu Balozi huyo aliambatana na Jamal Jafari ambaye ni aliambatana na Mwakilishi wa Ubalozi wa Marekani nchini
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akimsikiliza Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi Virginia Blaser aliyefika ofisini kwa Waziri huyo kwa lengo la kujadiliana namna wanayoweza kusaidia Mashirika na vikundi vya kijaa katika masuala ya usalama wa raia na haki zao. Kaimu Balozi huyo aliambatana na Mwakilishi wa Ubalozi wa Marekani nchini, Jamal Jafari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. nimeipenda kazi yakohttps://laelayetu.blogspot.com/

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...