Hivi majuzi Globu ya Jamii katika pitapita zake ilikutana na Bw. Yusuph Hamisi, baba wa mtoto wa miezi 5 aitwaye Ilham Yusuph akiwa amembeba mwanae katika Kituo cha Afya cha Nagaga alipokuwa amempeleka Kliniki, baada ya kumtaka mama yake apumzike ili kazi hiyo afanye yeye. Watoto wanaopelekwa na Baba zao katika kituo hicho wanapata kipaumbele katika huduma kwani hawakai foleni. Kituo cha Afya  Nagaga kipo Kilometa 40 kutoka Mjini Masasi. Hakika wazazi wa kiume wa aina hii inabidi watafutiwe tuzo zao
Bw. Yusuph Hamisi, na  mtoto wake wa miezi 5 aitwaye Ilham Yusuph wakiwa katika kliniki ya Kituo cha Afya cha Nagaga, Masasi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...