Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Abdalla Juma Saadala akizungumza na Balozi mdogo wa China Zanzibar Bw. Xie Xiaowu juu ya masuala mbali mbali ya kimaendeleo huko Afisi Kuu Zanzibar.
Balozi mdogo wa China Zanzibar Bw. Xie Xiaowu akizungumza na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Abdalla Juma Saadala juu ya mahusiano ya CPC na CCM huko Afisi Kuu ya CCM Zanzibar.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Abdalla Juma Saadala akitoa ufafanuzi kwa Balozi mdogo wa China Zanzibar Bw. Xie Xiaowu juu ya michoro na picha za waasisi mbali mbali wa vyama vya ukombozi duniani zilizopo katika chumba cha historia alichofariki Mwasisi Mzee Abeid Amani Karume Kisiwandui Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...